Waombaji wanatakiwa kuzingatia yafuatavyo;-
i. Kuja na Vyeti halisi (Original Certificates) vya elimu na ujuzi
ii. Kuja naCheti halisi cha kuzaliwa,
iii. Hati za matokeo ya mitihani (Result Slip/Statements) hazitakubaliwa isipokuwa kwa wahitimu ambao vyeti vyao halisi havijatolewa na vyuo husika wakiwa na barua Maalum ya kuthibitisha kwamba vyeti halisi havijatolewa,
iv. Wahusika watajitegemea kwa nauli za kuja na kurudi, chakula na malazi kwa kipindi chote cha usaili
Tangazo hili pia linapatikana kwenye Mbao za Matangazo zilizopo Bwalo Kuu la Magereza, tovuti ya magereza kwa anwani ya www.magereza.go.tz, gazeti la Uhuru la tarehe 05 Desemba 2014 sanjari na blog ya magereza kwa anwani ya www.magereza.blogspot.com
Imetolewa na Kamishna Jenerali wa Magereza
J.C.Minja
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA
Bofya HAPA kupata orodha ya wanaotakiwa kufika kwenye usaili