

Kwa matokeo hayo sasa Ghana itakutana na Ivory Coast katika mchezo wa Fainali utakaopigwa siku ya Jumapili Februari 8, 2014.
Ivory Coast waliwatoa Congo DR kwa mabao 3-1 jana.


Baada ya muda,polisi walilazimika kutumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya mashabiki waliokuwa wakihusika na vurugu hizo, na baada ya dakika chache hali ilikuwa shwari na mchezo kuendelea kwa kumalizia takribani dakika zisizozidi Tano.